Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao wana wa Yakobo wakaingia kutoka shambani mara tu waliposikia juu ya hilo; na hao wanaume wakaumia hisia zao, wakakasirika sana,+ kwa sababu alikuwa amefanya upumbavu wenye kufedhehesha juu ya Israeli kwa kulala na binti ya Yakobo,+ wakati ambapo jambo kama hilo halipasi kufanywa.+

  • Mambo ya Walawi 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye.

  • Methali 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndugu aliyekosewa ni mgumu kuliko mji wenye nguvu;+ na kuna magomvi yaliyo kama pingo la mnara wa makao.+

  • Methali 26:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa midomo yake, mtu mwenye chuki hujificha asitambuliwe, lakini ndani yake huweka udanganyifu.+

  • Waefeso 4:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Iweni na ghadhabu, lakini msitende dhambi;+ jua lisitue mkiwa katika hali ya kuchokozeka,+

  • 1 Yohana 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki