2 Samweli 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Absalomu hakumwambia Amnoni jambo baya wala jema; kwa kuwa Absalomu alimchukia+ Amnoni kwa sababu alikuwa amemfedhehesha Tamari dada yake. Methali 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu anayefunika chuki ana midomo ya uwongo,+ naye anayeleta habari mbaya ni mjinga.+
22 Na Absalomu hakumwambia Amnoni jambo baya wala jema; kwa kuwa Absalomu alimchukia+ Amnoni kwa sababu alikuwa amemfedhehesha Tamari dada yake.