Mathayo 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Ninyi mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiue;+ lakini yeyote yule anayeua+ atatoa hesabu mahakamani.’+ Waefeso 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Uchungu wote wenye uovu+ na hasira na ghadhabu na kupiga kelele na matukano+ na viondolewe mbali kutoka kwenu pamoja na ubaya wote.+
21 “Ninyi mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiue;+ lakini yeyote yule anayeua+ atatoa hesabu mahakamani.’+
31 Uchungu wote wenye uovu+ na hasira na ghadhabu na kupiga kelele na matukano+ na viondolewe mbali kutoka kwenu pamoja na ubaya wote.+