Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 19:2

Marejeo

  • +Law 11:44; Efe 1:4; 1Pe 1:16
  • +Law 21:8; Isa 6:3; Ufu 4:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 3-4

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 9

    8/1/1996, uku. 10

    11/1/1987, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 9; w96 8/1 10

Mambo ya Walawi 19:3

Marejeo

  • +Kut 20:12; Efe 6:2; Ebr 12:9
  • +Kut 20:8, 11; 31:13; Lu 6:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 4-5, 8

Mambo ya Walawi 19:4

Marejeo

  • +Kut 20:4; Law 26:1; Zb 96:5; Hab 2:18; 1Ko 10:14
  • +Kut 20:23; 32:4; Kum 27:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 5-6

Mambo ya Walawi 19:5

Marejeo

  • +Law 3:1
  • +Law 7:12

Mambo ya Walawi 19:6

Marejeo

  • +Law 7:17

Mambo ya Walawi 19:7

Marejeo

  • +Eze 4:14
  • +Law 7:18

Mambo ya Walawi 19:8

Marejeo

  • +Law 5:17

Mambo ya Walawi 19:9

Marejeo

  • +Kut 23:11; Law 23:22; Kum 24:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2006, kur. 22-23

    12/1/2003, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 6/15 22-23; w03 12/1 17

Mambo ya Walawi 19:10

Marejeo

  • +Isa 17:6; Yer 49:9
  • +Law 25:6; Kum 15:7; Ru 2:15; Zb 140:12

Mambo ya Walawi 19:11

Marejeo

  • +Kut 20:15; Efe 4:28
  • +Law 6:2; Met 12:22; Efe 4:25
  • +1Fa 13:18; Yer 9:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2016, kur. 11-12

Mambo ya Walawi 19:12

Marejeo

  • +Kut 20:7; Kum 5:11; Mt 5:37; Yak 5:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 10

Mambo ya Walawi 19:13

Marejeo

  • +Met 22:16; Mk 10:19
  • +Met 22:22
  • +Kum 24:15; Yer 22:13; Yak 5:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 10

Mambo ya Walawi 19:14

Marejeo

  • +Kum 27:18
  • +Mwa 42:18; Law 25:17; Ne 5:15; Met 1:7; 8:13; 1Pe 2:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 8-9

Mambo ya Walawi 19:15

Marejeo

  • +Kut 23:3; Kum 16:19; 2Nya 19:6; Met 24:23; Ro 2:11
  • +Kum 1:17; Yak 2:9

Mambo ya Walawi 19:16

Marejeo

  • +Zb 15:3; Met 11:13; 1Ti 3:11; 2Ti 3:3; Tit 2:3
  • +Kut 20:16; 1Fa 21:13; Met 6:17; Mt 26:60; Mdo 6:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 14

    Ufahamu, uku. 344

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1992, uku. 20

    9/15/1989, uku. 27

Mambo ya Walawi 19:17

Marejeo

  • +Mwa 27:41; Met 10:18; 1Yo 2:9; 3:15
  • +Zb 141:5; Met 9:8; Mt 18:15; Gal 2:11; 1Ti 5:20; Tit 1:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 780-781

Mambo ya Walawi 19:18

Marejeo

  • +Met 20:22; Ro 12:19
  • +1Sa 18:29; Zb 55:3
  • +Mt 5:43; 22:39; Ro 13:9; Gal 5:14; Yak 2:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 134, 195

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 10-12

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2011, uku. 22

    12/1/2006, kur. 26-27

    “Kila Andiko,” uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 4/15 22; w06 12/1 26-27

Mambo ya Walawi 19:19

Marejeo

  • +Kum 22:9
  • +Kum 22:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 6

Mambo ya Walawi 19:21

Marejeo

  • +Law 6:6

Mambo ya Walawi 19:22

Marejeo

  • +Law 4:31; 6:7

Mambo ya Walawi 19:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 6-7

Mambo ya Walawi 19:24

Marejeo

  • +Hes 18:12; Kum 18:4
  • +Kum 26:2; Met 3:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 6-7

Mambo ya Walawi 19:25

Marejeo

  • +Law 26:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, kur. 6-7

Mambo ya Walawi 19:26

Marejeo

  • +Law 3:17; 17:13; Kum 12:23; Mdo 15:20; 21:25
  • +2Fa 17:17
  • +Kut 8:7; Kum 18:10; 2Fa 21:6; Gal 5:20; Ufu 21:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    9/8/1993, uku. 27

Mambo ya Walawi 19:27

Marejeo

  • +Law 21:5; Yer 9:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, uku. 24

    Amkeni!,

    1/22/2000, kur. 22-24

    9/22/1999, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 24; g00 1/22 22, 24; g99 9/22 30

Mambo ya Walawi 19:28

Marejeo

  • +Kum 14:1; Yer 16:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 50

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2003, uku. 27

    4/1/1987, uku. 31

    Amkeni!,

    8/8/2000, kur. 18-19

    10/8/1995, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 7/15 27; g00 8/8 18-19

Mambo ya Walawi 19:29

Marejeo

  • +Law 21:7; Kum 23:17; Ebr 13:4
  • +Met 21:27; 1Pe 4:3

Mambo ya Walawi 19:30

Marejeo

  • +Kut 20:10; 31:13
  • +Law 26:2

Mambo ya Walawi 19:31

Marejeo

  • +Law 20:6; Kum 18:11; 1Sa 28:7; 1Nya 10:13; 2Nya 33:6; Isa 8:19; Gal 5:20; Ufu 21:8
  • +Law 20:27; Mdo 16:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 24

Mambo ya Walawi 19:32

Marejeo

  • +Met 16:31; 20:29
  • +Ayu 32:6; Met 23:22; Omb 5:12; 1Ti 5:1
  • +Ne 5:9; Ayu 28:28; Met 1:7; 8:13; 1Pe 2:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 21

    6/15/2000, uku. 21

    8/1/1999, uku. 20

    8/1/1994, uku. 27

    3/15/1993, uku. 27

    6/1/1987, uku. 5

    Amkeni!,

    10/8/2004, kur. 22-23

    4/8/1999, uku. 31

    Furaha ya Familia, uku. 149

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 10/15 21; g04 10/8 22-23; w00 6/15 21; w99 8/1 20; g99 4/8 31; fy 149

Mambo ya Walawi 19:33

Marejeo

  • +Kut 23:9; Mal 3:5

Mambo ya Walawi 19:34

Marejeo

  • +Kut 12:49; Kum 10:19
  • +Kut 22:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 12

Mambo ya Walawi 19:35

Marejeo

  • +Zek 7:9
  • +Kum 25:13, 15; Met 20:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 10

Mambo ya Walawi 19:36

Marejeo

  • +Met 11:1; 16:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2021, uku. 10

Mambo ya Walawi 19:37

Marejeo

  • +Law 18:5; Kum 4:6

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 19:2Law 11:44; Efe 1:4; 1Pe 1:16
Law. 19:2Law 21:8; Isa 6:3; Ufu 4:8
Law. 19:3Kut 20:12; Efe 6:2; Ebr 12:9
Law. 19:3Kut 20:8, 11; 31:13; Lu 6:5
Law. 19:4Kut 20:4; Law 26:1; Zb 96:5; Hab 2:18; 1Ko 10:14
Law. 19:4Kut 20:23; 32:4; Kum 27:15
Law. 19:5Law 3:1
Law. 19:5Law 7:12
Law. 19:6Law 7:17
Law. 19:7Eze 4:14
Law. 19:7Law 7:18
Law. 19:8Law 5:17
Law. 19:9Kut 23:11; Law 23:22; Kum 24:19
Law. 19:10Isa 17:6; Yer 49:9
Law. 19:10Law 25:6; Kum 15:7; Ru 2:15; Zb 140:12
Law. 19:11Kut 20:15; Efe 4:28
Law. 19:11Law 6:2; Met 12:22; Efe 4:25
Law. 19:111Fa 13:18; Yer 9:5
Law. 19:12Kut 20:7; Kum 5:11; Mt 5:37; Yak 5:12
Law. 19:13Met 22:16; Mk 10:19
Law. 19:13Met 22:22
Law. 19:13Kum 24:15; Yer 22:13; Yak 5:4
Law. 19:14Kum 27:18
Law. 19:14Mwa 42:18; Law 25:17; Ne 5:15; Met 1:7; 8:13; 1Pe 2:17
Law. 19:15Kut 23:3; Kum 16:19; 2Nya 19:6; Met 24:23; Ro 2:11
Law. 19:15Kum 1:17; Yak 2:9
Law. 19:16Zb 15:3; Met 11:13; 1Ti 3:11; 2Ti 3:3; Tit 2:3
Law. 19:16Kut 20:16; 1Fa 21:13; Met 6:17; Mt 26:60; Mdo 6:11
Law. 19:17Mwa 27:41; Met 10:18; 1Yo 2:9; 3:15
Law. 19:17Zb 141:5; Met 9:8; Mt 18:15; Gal 2:11; 1Ti 5:20; Tit 1:13
Law. 19:18Met 20:22; Ro 12:19
Law. 19:181Sa 18:29; Zb 55:3
Law. 19:18Mt 5:43; 22:39; Ro 13:9; Gal 5:14; Yak 2:8
Law. 19:19Kum 22:9
Law. 19:19Kum 22:11
Law. 19:21Law 6:6
Law. 19:22Law 4:31; 6:7
Law. 19:24Hes 18:12; Kum 18:4
Law. 19:24Kum 26:2; Met 3:9
Law. 19:25Law 26:4
Law. 19:26Law 3:17; 17:13; Kum 12:23; Mdo 15:20; 21:25
Law. 19:262Fa 17:17
Law. 19:26Kut 8:7; Kum 18:10; 2Fa 21:6; Gal 5:20; Ufu 21:8
Law. 19:27Law 21:5; Yer 9:26
Law. 19:28Kum 14:1; Yer 16:6
Law. 19:29Law 21:7; Kum 23:17; Ebr 13:4
Law. 19:29Met 21:27; 1Pe 4:3
Law. 19:30Kut 20:10; 31:13
Law. 19:30Law 26:2
Law. 19:31Law 20:6; Kum 18:11; 1Sa 28:7; 1Nya 10:13; 2Nya 33:6; Isa 8:19; Gal 5:20; Ufu 21:8
Law. 19:31Law 20:27; Mdo 16:16
Law. 19:32Met 16:31; 20:29
Law. 19:32Ayu 32:6; Met 23:22; Omb 5:12; 1Ti 5:1
Law. 19:32Ne 5:9; Ayu 28:28; Met 1:7; 8:13; 1Pe 2:17
Law. 19:33Kut 23:9; Mal 3:5
Law. 19:34Kut 12:49; Kum 10:19
Law. 19:34Kut 22:21
Law. 19:35Zek 7:9
Law. 19:35Kum 25:13, 15; Met 20:10
Law. 19:36Met 11:1; 16:11
Law. 19:37Law 18:5; Kum 4:6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 19:1-37

Mambo ya Walawi

19 Na Yehova akazidi kusema na Musa, na kumwambia: 2 “Sema na kusanyiko lote la wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wenu ni mtakatifu.+

3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumwogopa mama yake na baba yake,+ nazo sabato zangu mnapaswa kuzishika.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. 4 Msigeukie miungu isiyo na thamani,+ wala msijifanyie miungu ya kuyeyushwa.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

5 “‘Sasa ikiwa mtamtolea Yehova dhabihu ya ushirika,+ mtaitoa ili mjipatie kibali.+ 6 Inapaswa kuliwa siku ile mnayotoa dhabihu na kesho yake, lakini kitakachobaki mpaka siku ya tatu kitateketezwa kwa moto.+ 7 Hata hivyo, ikiwa kwa vyovyote kitaliwa siku ya tatu, ni kitu kichafu.+ Hakitapokewa kwa kibali.+ 8 Naye atakayekila atajibu kwa kosa lake,+ kwa sababu amekitia unajisi kitu kitakatifu cha Yehova; nayo nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake.

9 “‘Na mnapovuna mavuno ya nchi yenu, msivune kabisa ukingo wa shamba lenu, nayo masalio ya mavuno yenu msiyaokote.+ 10 Pia, usikusanye masalio+ ya shamba lako la mizabibu, wala usiokote zabibu zilizotawanyika za shamba lako la mizabibu. Ziache kwa ajili ya mwenye kuteseka na mkaaji mgeni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

11 “‘Msiibe,+ wala msidanganye,+ wala msitendeane kwa uwongo mtu yeyote na mwenzake.+ 12 Na msiape uwongo kwa jina langu,+ ili msilitie unajisi jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova. 13 Usimpunje+ mwenzako, wala usinyang’anye.+ Usikae na mshahara wa mfanyakazi wa kukodiwa usiku kucha mpaka asubuhi.+

14 “‘Usimlaani kiziwi, na mbele ya kipofu usiweke kikwazo;+ nawe umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.

15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki.

16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.

17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye.

18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.

19 “‘Mtazishika sheria zangu: Usiwafanye wanyama wako wa kufugwa wa aina mbili wazaane. Usilipande shamba lako aina mbili za mbegu,+ nawe usivae vazi la aina mbili za nyuzi, zilizochanganywa.+

20 “‘Sasa mwanamume akilala na mwanamke na shahawa imtoke, wakati ambapo yeye ni mjakazi aliyewekwa kwa ajili ya mwanamume mwingine, naye hajakombolewa kwa njia yoyote wala hajapewa uhuru, adhabu itatolewa. Watu hao wasiuawe, kwa sababu hakuwa amewekwa huru. 21 Naye atamletea Yehova toleo lake la hatia kwenye mwingilio wa hema la mkutano, kondoo-dume wa toleo la hatia.+ 22 Naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa yule kondoo-dume wa toleo la hatia mbele za Yehova kwa ajili ya dhambi yake ambayo alitenda; naye atasamehewa dhambi yake ambayo alitenda.+

23 “‘Na ikiwa mnaingia katika nchi, na kuupanda mti wowote kwa ajili ya chakula, mtayaona matunda yake kuwa machafu kama “govi” lake. Kwa miaka mitatu utakuwa haujatahiriwa kwenu. Hayataliwa. 24 Lakini katika mwaka wa nne matunda+ yake yote yatakuwa kitu kitakatifu cha kusherehekea kwa kushangilia kwa Yehova.+ 25 Na katika mwaka wa tano mnaweza kula matunda yake ili kujiongezea mazao yake.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

26 “‘Msile kitu chochote pamoja na damu.+

“‘Msitafute ishara za bahati,+ wala msifanye uchawi.+

27 “‘Msikate ndevu zenu ziwe fupi kuzunguka pande zote, wala usiharibu ncha ya ndevu zako.+

28 “‘Na msijikatekate mwili wenu kwa ajili ya nafsi iliyokufa,+ wala msijitie alama ya chanjo. Mimi ni Yehova.

29 “‘Usimtie unajisi binti yako kwa kumfanya kahaba,+ ili nchi isifanye ukahaba na hivyo nchi ijae maadili mapotovu.+

30 “‘Sabato zangu mtazishika,+ nanyi mtapaheshimu patakatifu pangu.+ Mimi ni Yehova.

31 “‘Msiwaendee wenye kuwasiliana na pepo,+ wala msitafute shauri la wajuzi wa kubashiri matukio,+ ili kutiwa unajisi nao. Mimi ni Yehova Mungu wenu.

32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya mtu mwenye mvi,+ nawe umwonyeshe ufikirio mtu mzee,+ nawe umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.

33 “‘Na ikiwa mkaaji mgeni anakaa pamoja nawe akiwa mgeni katika nchi yenu, msimtendee vibaya.+ 34 Yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi atakuwa kwenu kama mwenyeji wenu; nawe utampenda kama wewe mwenyewe,+ kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

35 “‘Msikose kufanya haki katika kuhukumu,+ katika kupima, katika kupima uzito+ au katika kupima vitu vya majimaji. 36 Mtakuwa na mizani sahihi, vipimo sahihi,+ kipimo sahihi cha efa na kipimo sahihi cha hini. Mimi ni Yehova Mungu wenu, ambaye nimewatoa ninyi katika nchi ya Misri. 37 Kwa hiyo mtazishika sheria zangu zote na maamuzi yangu yote ya hukumu, nanyi mtazifanya.+ Mimi ni Yehova.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki