Kumbukumbu la Torati 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Msipendelee katika hukumu.+ Msikilizeni mdogo sawa na mkubwa.+ Msiogope kwa sababu ya mwanadamu,+ kwa maana hukumu ni ya Mungu;+ na kesi ambayo ni ngumu mno kwenu, nileteeni, nami nitaisikiliza.’+ Yakobo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mkiendelea kuonyesha upendeleo,+ mnafanya dhambi, kwa maana sheria+ inawakaripia ninyi kuwa ni wakosaji.
17 Msipendelee katika hukumu.+ Msikilizeni mdogo sawa na mkubwa.+ Msiogope kwa sababu ya mwanadamu,+ kwa maana hukumu ni ya Mungu;+ na kesi ambayo ni ngumu mno kwenu, nileteeni, nami nitaisikiliza.’+
9 Lakini mkiendelea kuonyesha upendeleo,+ mnafanya dhambi, kwa maana sheria+ inawakaripia ninyi kuwa ni wakosaji.