Ayubu 32:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, akajibu, akasema:“Mimi ni kijana katika sikuNanyi ni wazee.+Ndiyo sababu nilikaa mbali nikaogopaKuwatangazia ninyi ujuzi wangu. Methali 23:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Msikilize baba yako aliyekuzaa,+ wala usimdharau mama yako kwa sababu tu amezeeka.+ Maombolezo 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakuu wametundikwa kwa mkono wao.+ Hata nyuso za wanaume wazee hazikuheshimiwa.+ 1 Timotheo 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Usimkemee kwa ukali mwanamume mzee.+ Badala yake, msihi kama baba, wanaume vijana kama ndugu,
6 Ndipo Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, akajibu, akasema:“Mimi ni kijana katika sikuNanyi ni wazee.+Ndiyo sababu nilikaa mbali nikaogopaKuwatangazia ninyi ujuzi wangu.