Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 32:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, akajibu, akasema:

      “Mimi ni kijana katika siku

      Nanyi ni wazee.+

      Ndiyo sababu nilikaa mbali nikaogopa

      Kuwatangazia ninyi ujuzi wangu.

  • Methali 23:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Msikilize baba yako aliyekuzaa,+ wala usimdharau mama yako kwa sababu tu amezeeka.+

  • Maombolezo 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakuu wametundikwa kwa mkono wao.+ Hata nyuso za wanaume wazee hazikuheshimiwa.+

  • 1 Timotheo 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Usimkemee kwa ukali mwanamume mzee.+ Badala yake, msihi kama baba, wanaume vijana kama ndugu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki