Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 47:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+ nami nikawatia mkononi mwako.+ Hukuwaonyesha rehema zozote.+ Uliifanya nira yako kuwa nzito sana juu ya mzee.+

  • Yeremia 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nimejawa na ghadhabu ya Yehova. Nimechoka kujizuia.”+

      “Imwage wakati uleule juu ya mtoto aliye barabarani+ na juu ya kikundi cha vijana walio rafiki za karibu; kwa maana wao pia watakamatwa, mwanamume pamoja na mke wake, mzee pamoja na mtu mwenye siku nyingi.+

  • Maombolezo 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Uso wa Yehova umewatawanya.+ Hatawatazama tena.+

      Watu hawataonyesha kujali hata kwa walio makuhani.+ Hakika hawatawakubali hata walio wanaume wazee.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki