Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 “Na itatukia kwamba kama vile Yehova alivyokuwa na furaha juu yenu ili kuwafanyia mema na kuwazidisha ninyi,+ ndivyo Yehova atakavyokuwa na furaha juu yenu ili kuwaharibu ninyi na kuwaangamiza ninyi;+ nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+

  • Isaya 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nitamtuma yeye juu ya taifa lenye kuasi imani,+ nami nitampa amri juu ya watu wa ghadhabu yangu,+ ili kuchukua nyara nyingi na kuchukua uporaji mwingi na kuwafanya kuwa mahali pa kukanyaga kama udongo wa barabara.+

  • Ezekieli 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 ‘Iambie nyumba ya Israeli: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, mimi ninapatia unajisi patakatifu pangu,+ fahari ya nguvu zenu,+ kitu chenye kutamanika machoni penu+ na kitu ambacho nafsi yenu hukihurumia, nao wana wenu na binti zenu ambao mmewaacha nyuma—wataanguka kwa upanga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki