Yeremia 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova amesema hivi juu ya jirani zangu wote wabaya,+ wanaogusa fungu la urithi ambalo niliwamilikisha watu wangu, Israeli:+ “Tazama, ninawang’oa kutoka katika nchi yao;+ na nyumba ya Yuda nitaing’oa kutoka katikati yao.+ Yeremia 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakati wowote nikisema juu ya taifa na juu ya ufalme ili kuung’oa na kuubomoa na kuuharibu,+
14 Yehova amesema hivi juu ya jirani zangu wote wabaya,+ wanaogusa fungu la urithi ambalo niliwamilikisha watu wangu, Israeli:+ “Tazama, ninawang’oa kutoka katika nchi yao;+ na nyumba ya Yuda nitaing’oa kutoka katikati yao.+