Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 79:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Tumekuwa shutuma kwa jirani zetu,+

      Dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka pande zote.+

  • Yeremia 48:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ‘Mlewesheni,+ kwa maana ameonyesha majivuno sana juu ya Yehova mwenyewe;+ na Moabu amegaagaa katika matapiko+ yake, naye amekuwa kitu cha kudhihakiwa, yeye mwenyewe.

  • Ezekieli 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utasema hivi kuwahusu wana wa Amoni, ‘Sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Kwa sababu umesema Aha! Juu ya patakatifu pangu, kwa sababu pametiwa unajisi, na juu ya nchi ya Israeli, kwa sababu imefanywa kuwa ukiwa, na juu ya nyumba ya Yuda, kwa sababu wameenda uhamishoni,+

  • Sefania 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Nimesikia shutuma za Moabu+ na maneno mabaya ya wana wa Amoni,+ ambayo wametumia kuwashutumu watu wangu na kuendelea kujivuna sana juu ya eneo lao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki