Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Anayemdhihaki maskini anamletea shutuma Mtengenezaji+ wake. Anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa adhabu.+

  • Methali 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Adui yako anapoanguka, usishangilie; naye anapokwazwa, moyo wako usiwe na shangwe,+

  • Ezekieli 26:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, kwa sababu Tiro+ amesema juu ya Yerusalemu,+ ‘Aha! Amevunjwa,+ milango ya vikundi vya watu!+ Hakika mwelekeo wa mambo utageuka uwe kwangu. Nitajazwa—ameharibiwa,’+

  • Ezekieli 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso+ wako kwenye eneo lenye milima la Seiri+ na utoe unabii juu yake.+

  • Ezekieli 35:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nawe utalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesikia mambo yako yote yasiyo ya heshima ambayo umesema kuhusu milima ya Israeli,+ ukisema: “Imefanywa ukiwa. Imetiwa mkononi mwetu iwe chakula chetu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki