2 “Mwana wa binadamu, kwa sababu Tiro+ amesema juu ya Yerusalemu,+ ‘Aha! Amevunjwa,+ milango ya vikundi vya watu!+ Hakika mwelekeo wa mambo utageuka uwe kwangu. Nitajazwa—ameharibiwa,’+
12 Nawe utalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesikia mambo yako yote yasiyo ya heshima ambayo umesema kuhusu milima ya Israeli,+ ukisema: “Imefanywa ukiwa. Imetiwa mkononi mwetu iwe chakula chetu.”+