25 Na ikawa kwamba kwa kuwa moyo wao ulikuwa na furaha,+ wakaanza kusema: “Mwite Samsoni apate kututumbuiza.”+ Basi wakamwita Samsoni kutoka katika ile nyumba ya gereza apate kucheza mbele yao;+ nao wakamsimamisha katikati ya nguzo.
5 Na Mfalme Daudi akaenda mpaka Bahurimu,+ na tazama! palikuwa na mtu anatoka huko, wa familia ya nyumba ya Sauli, na jina lake lilikuwa Shimei,+ mwana wa Gera, akiwa anatoka na kulaani huku akiwa anatoka.+