Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 16:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na ikawa kwamba kwa kuwa moyo wao ulikuwa na furaha,+ wakaanza kusema: “Mwite Samsoni apate kututumbuiza.”+ Basi wakamwita Samsoni kutoka katika ile nyumba ya gereza apate kucheza mbele yao;+ nao wakamsimamisha katikati ya nguzo.

  • 2 Samweli 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Mfalme Daudi akaenda mpaka Bahurimu,+ na tazama! palikuwa na mtu anatoka huko, wa familia ya nyumba ya Sauli, na jina lake lilikuwa Shimei,+ mwana wa Gera, akiwa anatoka na kulaani huku akiwa anatoka.+

  • Ayubu 31:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ikiwa nilikuwa nikishangilia kuangamia kwa mtu anayenichukia vikali,+

      Au kuchangamka kwa sababu uovu umempata—

  • Methali 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Anayemdhihaki maskini anamletea shutuma Mtengenezaji+ wake. Anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa adhabu.+

  • Methali 25:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ikiwa mtu anayekuchukia ana njaa, mpe mkate ale; na ikiwa ana kiu, mpe maji anywe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki