Methali 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata katika kicheko moyo unaweza kuwa na maumivu;+ na kushangilia huishia katika huzuni.+ Mathayo 27:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 nao wakasokota taji kutokana na miiba na kuliweka juu ya kichwa chake na utete katika mkono wake wa kuume. Nao wakapiga magoti mbele yake, wakamfanyia dhihaka,+ wakisema: “Siku njema, ewe Mfalme wa Wayahudi!”+
29 nao wakasokota taji kutokana na miiba na kuliweka juu ya kichwa chake na utete katika mkono wake wa kuume. Nao wakapiga magoti mbele yake, wakamfanyia dhihaka,+ wakisema: “Siku njema, ewe Mfalme wa Wayahudi!”+