Ayubu 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na sasa mimi nimekuwa hata kichwa cha wimbo wao,+Nami ni simango kwao.+ Zaburi 35:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini walishangilia na kukusanyika pamoja kuhusu kuchechemea kwangu;+Walikusanyika pamoja dhidi yangu,+Wakinipiga na kuniangusha wakati sikujua;+Walinirarua vipande-vipande wala hawakukaa kimya.+ Zaburi 69:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wale wanaoketi kwenye lango wakaanza kujishughulisha nami,+Nikawa kiini cha nyimbo za watu wanaokunywa kileo.+ Waebrania 11:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa dhihaka na mapigo kwa mijeledi, kwa kweli, zaidi ya hayo, kwa vifungo+ na magereza.+
15 Lakini walishangilia na kukusanyika pamoja kuhusu kuchechemea kwangu;+Walikusanyika pamoja dhidi yangu,+Wakinipiga na kuniangusha wakati sikujua;+Walinirarua vipande-vipande wala hawakukaa kimya.+
12 Wale wanaoketi kwenye lango wakaanza kujishughulisha nami,+Nikawa kiini cha nyimbo za watu wanaokunywa kileo.+
36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa dhihaka na mapigo kwa mijeledi, kwa kweli, zaidi ya hayo, kwa vifungo+ na magereza.+