Ayubu 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na sasa mimi nimekuwa hata kichwa cha wimbo wao,+Nami ni simango kwao.+ Marko 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pia, wakawa wakimpiga kichwani kwa utete na kumtemea mate na kumsujudia wakiwa wamepiga magoti.+