Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 31:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ikiwa nilikuwa nikishangilia kuangamia kwa mtu anayenichukia vikali,+

      Au kuchangamka kwa sababu uovu umempata—

  • Methali 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Adui yako anapoanguka, usishangilie; naye anapokwazwa, moyo wako usiwe na shangwe,+

  • Obadia 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Nawe hupaswi kutazama tukio katika siku ya ndugu yako,+ katika siku ya maafa yake; wala kushangilia juu ya wana wa Yuda katika siku ya kuangamia kwao;+ wala usiseme makuu katika siku ya taabu yao.

  • Waroma 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Shangilieni pamoja na watu wanaoshangilia;+ lieni pamoja na watu wanaolia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki