Ayubu 31:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ikiwa nilikuwa nikishangilia kuangamia kwa mtu anayenichukia vikali,+Au kuchangamka kwa sababu uovu umempata— Methali 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Adui yako anapoanguka, usishangilie; naye anapokwazwa, moyo wako usiwe na shangwe,+ Obadia 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Nawe hupaswi kutazama tukio katika siku ya ndugu yako,+ katika siku ya maafa yake; wala kushangilia juu ya wana wa Yuda katika siku ya kuangamia kwao;+ wala usiseme makuu katika siku ya taabu yao. Waroma 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Shangilieni pamoja na watu wanaoshangilia;+ lieni pamoja na watu wanaolia.
29 Ikiwa nilikuwa nikishangilia kuangamia kwa mtu anayenichukia vikali,+Au kuchangamka kwa sababu uovu umempata—
12 “Nawe hupaswi kutazama tukio katika siku ya ndugu yako,+ katika siku ya maafa yake; wala kushangilia juu ya wana wa Yuda katika siku ya kuangamia kwao;+ wala usiseme makuu katika siku ya taabu yao.