Methali 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Anayemdhihaki maskini anamletea shutuma Mtengenezaji+ wake. Anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa adhabu.+ Methali 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Adui yako anapoanguka, usishangilie; naye anapokwazwa, moyo wako usiwe na shangwe,+ Maombolezo 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Furahi na kushangilia,+ Ee binti Edomu,+ wewe unayekaa katika nchi ya Usi.+Kwako wewe pia kikombe kitapita.+ Utalewa na kujionyesha ukiwa uchi.+
5 Anayemdhihaki maskini anamletea shutuma Mtengenezaji+ wake. Anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa adhabu.+
21 Furahi na kushangilia,+ Ee binti Edomu,+ wewe unayekaa katika nchi ya Usi.+Kwako wewe pia kikombe kitapita.+ Utalewa na kujionyesha ukiwa uchi.+