Methali 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 kutoka kwa wale wanaofurahia kufanya mabaya,+ wanaoshangilia mambo mapotovu ya ubaya;+ 1 Wakorintho 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Haushangilii juu ya ukosefu wa uadilifu,+ bali hushangilia pamoja na kweli.+