Zaburi 50:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wakati wowote ulipomwona mwizi, naam, ulipendezwa naye;+Nawe ulishirikiana na wazinzi.+ Hosea 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wao humfanya mfalme ashangilie kwa ubaya wao, na wakuu kwa udanganyifu wao.+ Luka 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi, wakashangilia na kupatana kumpa fedha.+ Waroma 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ijapokuwa hawa wanajua vema kabisa amri ya uadilifu ya Mungu,+ kwamba wale wanaozoea kufanya mambo ya namna hiyo wanastahili kifo,+ wao wanaendelea kuyafanya na vilevile hukubaliana+ na wale wanaozoea kuyafanya.
32 Ijapokuwa hawa wanajua vema kabisa amri ya uadilifu ya Mungu,+ kwamba wale wanaozoea kufanya mambo ya namna hiyo wanastahili kifo,+ wao wanaendelea kuyafanya na vilevile hukubaliana+ na wale wanaozoea kuyafanya.