Yakobo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+ 2 Yohana 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye anayemsalimu anashiriki katika matendo yake maovu.+
4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+