Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 18:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Yesu akajibu:+ “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu.+ Kama ufalme wangu ungekuwa sehemu ya ulimwengu huu, watumishi wangu wangepigana+ ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini, kama ilivyo, ufalme wangu hautoki katika chanzo hiki.”

  • Waroma 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 kwa sababu kukaza akili juu ya mwili humaanisha uadui+ na Mungu, kwa maana mwili haujitiishi+ chini ya sheria ya Mungu, nao kwa kweli hauwezi kujitiisha.

  • 1 Yohana 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Msiwe mkiupenda ulimwengu au vitu vilivyo katika ulimwengu.+ Yeyote akiupenda ulimwengu, kumpenda Baba hakumo ndani yake;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki