Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 watamtoa nje msichana huyo kwenye mlango wa nyumba ya baba yake, nao watu wa jiji lake watampiga kwa mawe, naye lazima afe, kwa sababu amefanya upumbavu wenye kufedhehesha+ katika Israeli kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake.+ Kwa hiyo lazima utaondolea mbali lililo baya kutoka katikati yako.+

  • 2 Wathesalonike 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ili wote wahukumiwe kwa sababu hawakuiamini kweli+ bali waliupenda ukosefu wa uadilifu.+

  • Ufunuo 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini kwa habari ya waoga na wale wasio na imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu+ wao na wauaji+ na waasherati+ na wale wanaozoea kuwasiliana na pepo na waabudu-sanamu+ na waongo+ wote, fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto+ na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki