Waroma 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Vema! Kwa sababu ya ukosefu wao wa imani+ yalikatwa, lakini wewe umesimama kwa imani.+ Uache kuwa na mawazo ya kujivuna,+ bali uogope.+ Waebrania 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kukosa imani.+ 1 Yohana 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mtu anayemwamini Mwana wa Mungu, ushahidi+ umetolewa kwa habari yake. Mtu asiye na imani katika Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo,+ kwa sababu hakuwa na imani katika ushahidi uliotolewa,+ ambao Mungu akiwa shahidi+ ametoa kumhusu Mwana wake.
20 Vema! Kwa sababu ya ukosefu wao wa imani+ yalikatwa, lakini wewe umesimama kwa imani.+ Uache kuwa na mawazo ya kujivuna,+ bali uogope.+
10 Mtu anayemwamini Mwana wa Mungu, ushahidi+ umetolewa kwa habari yake. Mtu asiye na imani katika Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo,+ kwa sababu hakuwa na imani katika ushahidi uliotolewa,+ ambao Mungu akiwa shahidi+ ametoa kumhusu Mwana wake.