Mathayo 21:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwenu na kupewa taifa lenye kuzaa matunda yake.+ Waebrania 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kukosa imani.+ Waebrania 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Zaidi ya hayo, bila imani+ haiwezekani kamwe kumpendeza vema,+ kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko+ na kwamba yeye huwa mthawabishaji+ wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+
43 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwenu na kupewa taifa lenye kuzaa matunda yake.+
6 Zaidi ya hayo, bila imani+ haiwezekani kamwe kumpendeza vema,+ kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko+ na kwamba yeye huwa mthawabishaji+ wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+