Mathayo 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 lakini wana wa ufalme+ watatupwa nje katika giza. Nao watalia na kusaga meno yao huko.”+ Mathayo 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo nendeni kwenye barabara zinazotoka jijini, na mtu yeyote mtakayemkuta mwalikeni kwenye karamu ya ndoa.’+ Waebrania 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 si kulingana na lile agano+ ambalo nilifanya pamoja na mababu zao katika ile siku nilipowashika mkono na kuwatoa katika nchi ya Misri,+ kwa sababu hawakuendelea kulishika agano langu,+ hivi kwamba nikaacha kuwajali,’ asema Yehova.”+
9 Kwa hiyo nendeni kwenye barabara zinazotoka jijini, na mtu yeyote mtakayemkuta mwalikeni kwenye karamu ya ndoa.’+
9 si kulingana na lile agano+ ambalo nilifanya pamoja na mababu zao katika ile siku nilipowashika mkono na kuwatoa katika nchi ya Misri,+ kwa sababu hawakuendelea kulishika agano langu,+ hivi kwamba nikaacha kuwajali,’ asema Yehova.”+