Mathayo 21:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwenu na kupewa taifa lenye kuzaa matunda yake.+ Luka 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo yule mtumwa akaja, akamwambia bwana wake mambo hayo. Ndipo mwenye nyumba akawa na ghadhabu na kumwambia mtumwa wake, ‘Nenda upesi katika zile njia pana na njia ndogo za jiji, uwaingize humu maskini na viwete na vipofu na vilema.’+
43 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwenu na kupewa taifa lenye kuzaa matunda yake.+
21 Kwa hiyo yule mtumwa akaja, akamwambia bwana wake mambo hayo. Ndipo mwenye nyumba akawa na ghadhabu na kumwambia mtumwa wake, ‘Nenda upesi katika zile njia pana na njia ndogo za jiji, uwaingize humu maskini na viwete na vipofu na vilema.’+