Mathayo 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo mfalme akawaambia watumishi wake, ‘Mfungeni mikono na miguu na kumtupa gizani, kule nje. Huko ndiko atalia na kusaga meno yake.’+ Mathayo 24:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 naye atamwadhibu kwa ukali+ mkubwa zaidi na kumgawia sehemu yake pamoja na wanafiki. Huko ndiko atalia na kusaga meno.+ Luka 13:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hapo ndipo mtalia na kusaga meno yenu,+ wakati mtakapomwona Abrahamu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu,+ lakini ninyi wenyewe mkiwa mmetupwa nje.
13 Ndipo mfalme akawaambia watumishi wake, ‘Mfungeni mikono na miguu na kumtupa gizani, kule nje. Huko ndiko atalia na kusaga meno yake.’+
51 naye atamwadhibu kwa ukali+ mkubwa zaidi na kumgawia sehemu yake pamoja na wanafiki. Huko ndiko atalia na kusaga meno.+
28 Hapo ndipo mtalia na kusaga meno yenu,+ wakati mtakapomwona Abrahamu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu,+ lakini ninyi wenyewe mkiwa mmetupwa nje.