Zaburi 112:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+ Mathayo 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 lakini wana wa ufalme+ watatupwa nje katika giza. Nao watalia na kusaga meno yao huko.”+ Mathayo 25:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nanyi mtupeni nje katika giza mtumwa huyo asiyefaa kitu. Huko ndiko atalia na kusaga meno yake.’+ Luka 13:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hapo ndipo mtalia na kusaga meno yenu,+ wakati mtakapomwona Abrahamu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu,+ lakini ninyi wenyewe mkiwa mmetupwa nje.
10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+
28 Hapo ndipo mtalia na kusaga meno yenu,+ wakati mtakapomwona Abrahamu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu,+ lakini ninyi wenyewe mkiwa mmetupwa nje.