Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 112:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+

      ש [Shin]

      Atasaga meno yake na kuyeyuka.+

      ת [Taw]

      Tamaa ya waovu itaangamia.+

  • Mathayo 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 lakini wana wa ufalme+ watatupwa nje katika giza. Nao watalia na kusaga meno yao huko.”+

  • Mathayo 25:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nanyi mtupeni nje katika giza mtumwa huyo asiyefaa kitu. Huko ndiko atalia na kusaga meno yake.’+

  • Luka 13:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Hapo ndipo mtalia na kusaga meno yenu,+ wakati mtakapomwona Abrahamu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu,+ lakini ninyi wenyewe mkiwa mmetupwa nje.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki