Zaburi 37:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwovu anampangia hila mwadilifu,+Naye anamsagia meno yake.+ Zaburi 58:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na wayeyuke kana kwamba ni ndani ya maji yanayoenda zake;+Na aupinde upinde kwa ajili ya mishale yake huku wanapoanguka.+
7 Na wayeyuke kana kwamba ni ndani ya maji yanayoenda zake;+Na aupinde upinde kwa ajili ya mishale yake huku wanapoanguka.+