1 Samweli 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo Sauli akasema: “Nitampa yeye ili awe mtego kwake,+ na ili mkono wa Wafilisti uje juu yake.” Basi Sauli akamwambia Daudi: “Utafanya nami mapatano ya ndoa leo kwa mmoja wa hao wanawake wawili.” Mathayo 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na kushauriana+ pamoja ili wamkamate Yesu kwa hila na kumuua.
21 Kwa hiyo Sauli akasema: “Nitampa yeye ili awe mtego kwake,+ na ili mkono wa Wafilisti uje juu yake.” Basi Sauli akamwambia Daudi: “Utafanya nami mapatano ya ndoa leo kwa mmoja wa hao wanawake wawili.”