Zaburi 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+ Marko 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Siku mbili kabla ya pasaka+ na sherehe+ ya keki zisizo na chachu,+ wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta jinsi ya kumkamata kwa hila na kumuua;+ Yohana 11:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Lakini mtu fulani kati yao, Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka huo,+ akawaambia: “Ninyi hamjui lolote kamwe,
2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+
14 Siku mbili kabla ya pasaka+ na sherehe+ ya keki zisizo na chachu,+ wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta jinsi ya kumkamata kwa hila na kumuua;+
49 Lakini mtu fulani kati yao, Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka huo,+ akawaambia: “Ninyi hamjui lolote kamwe,