Mathayo 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Asubuhi ilipofika, wakuu wote wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakashauriana juu ya Yesu ili auawe.+ Marko 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Mafarisayo wakatoka na mara moja wakaanza kufanya baraza pamoja na wafuasi wa chama cha Herode+ juu yake, ili wamwangamize.+
27 Asubuhi ilipofika, wakuu wote wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakashauriana juu ya Yesu ili auawe.+
6 Ndipo Mafarisayo wakatoka na mara moja wakaanza kufanya baraza pamoja na wafuasi wa chama cha Herode+ juu yake, ili wamwangamize.+