6 Naye ataendelea kukaa chini ya ulinzi wenu mpaka siku ya kumi na nne ya mwezi huu,+ nalo kutaniko zima la kusanyiko la Israeli litamchinja katikati ya zile jioni mbili.+
13Sasa, kwa sababu alijua kabla ya sherehe ya pasaka kwamba saa yake ya kutoka katika ulimwengu huu kwenda kwa Baba ilikuwa imefika,+ Yesu, akiwa amewapenda walio wake mwenyewe waliokuwa ulimwenguni,+ akawapenda mpaka mwisho.