Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 23:2

Marejeo

  • +Kut 23:14; Law 23:37
  • +Hes 10:10

Mambo ya Walawi 23:3

Marejeo

  • +Kut 16:30; 20:10; Law 19:3; Mdo 15:21
  • +Ne 13:22; Isa 56:2; 58:13

Mambo ya Walawi 23:4

Marejeo

  • +Kut 23:14
  • +Kut 12:16; Hes 29:12
  • +Hes 9:2

Mambo ya Walawi 23:5

Marejeo

  • +Hes 9:3; 28:16
  • +Kut 12:6; Kum 16:1; Yos 5:10; 1Ko 5:7

Mambo ya Walawi 23:6

Marejeo

  • +Hes 28:17; Mdo 12:3; 1Ko 5:8
  • +Kut 12:15; 13:6; 34:18

Mambo ya Walawi 23:7

Marejeo

  • +Kut 12:16

Mambo ya Walawi 23:10

Marejeo

  • +Hes 18:12; Met 3:9; Eze 44:30; 1Ko 15:20; Yak 1:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2007, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 7/15 26

Mambo ya Walawi 23:11

Marejeo

  • +Law 23:15; 1Ko 15:20, 23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2007, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 7/15 26

Mambo ya Walawi 23:14

Marejeo

  • +Yos 5:11

Mambo ya Walawi 23:15

Marejeo

  • +Kut 34:22; Kum 16:9

Mambo ya Walawi 23:16

Marejeo

  • +Mdo 2:1
  • +Hes 28:26; Kum 16:16

Mambo ya Walawi 23:17

Marejeo

  • +Efe 2:16, 18
  • +Law 7:13; Ro 5:12
  • +Kut 23:16; 34:22; Yak 1:18; Ufu 14:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1998, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 3/1 13

Mambo ya Walawi 23:18

Marejeo

  • +Hes 28:27

Mambo ya Walawi 23:19

Marejeo

  • +Law 4:23; Hes 28:30
  • +Law 3:1

Mambo ya Walawi 23:20

Marejeo

  • +Law 7:30
  • +Law 7:34; 10:14; Hes 18:9; Kum 18:4; 1Ko 9:13

Mambo ya Walawi 23:21

Marejeo

  • +Hes 10:10

Mambo ya Walawi 23:22

Marejeo

  • +Law 19:9; Kum 24:19; Ru 2:3
  • +Isa 58:7
  • +Law 19:33; Hes 15:15

Mambo ya Walawi 23:24

Marejeo

  • +1Fa 8:2
  • +Hes 10:10; 29:1
  • +Hes 29:12

Mambo ya Walawi 23:27

Marejeo

  • +Kut 30:10; Law 16:30; 25:9; 1Yo 1:7
  • +Law 16:29; Hes 29:7; Zb 35:13; Isa 58:5
  • +Kum 16:16; Eze 45:17

Mambo ya Walawi 23:28

Marejeo

  • +Law 16:34; Ebr 9:12, 24, 26; 10:10; 1Yo 2:2

Mambo ya Walawi 23:29

Marejeo

  • +Hes 9:13; 15:30

Mambo ya Walawi 23:30

Marejeo

  • +Mdo 3:23

Mambo ya Walawi 23:31

Marejeo

  • +Law 23:28; Mt 12:12; Mk 3:4

Mambo ya Walawi 23:32

Marejeo

  • +Law 16:31
  • +Law 16:29; 23:27; Hes 29:7; Zb 35:13

Mambo ya Walawi 23:34

Marejeo

  • +Kut 23:16; Hes 29:12; Kum 16:13; Ezr 3:4; Ne 8:14; Zek 14:16; Yoh 7:2

Mambo ya Walawi 23:36

Marejeo

  • +Ne 8:18; Yoh 7:37

Mambo ya Walawi 23:37

Marejeo

  • +Kut 23:14; Kum 16:16
  • +Law 23:4; Hes 28:26; 29:7
  • +Law 1:9; 2:2
  • +Law 1:3
  • +Law 2:1, 11
  • +Kut 29:40; Hes 15:5; 28:7; Flp 2:17

Mambo ya Walawi 23:38

Marejeo

  • +Kut 16:23; 20:8; 31:13; Isa 56:2
  • +Kut 28:38; Hes 18:29
  • +Hes 29:39; Kum 12:11
  • +Kum 12:6; 1Nya 29:9; 2Nya 35:8; Ezr 2:68

Mambo ya Walawi 23:39

Marejeo

  • +Zek 14:16; Mt 13:39; 24:31; 25:31
  • +Kum 16:13
  • +Law 23:7, 24; Hes 29:12

Mambo ya Walawi 23:40

Marejeo

  • +Ne 8:15; Yoh 12:13; Ufu 7:9
  • +Kum 16:15; Ne 8:10

Mambo ya Walawi 23:41

Marejeo

  • +Hes 29:12; Ne 8:18

Mambo ya Walawi 23:42

Marejeo

  • +Kum 31:10
  • +Ne 8:14, 16, 17

Mambo ya Walawi 23:43

Marejeo

  • +Kut 13:14; Kum 31:13; Zb 78:6
  • +Kut 12:38; Hes 24:5; Zek 14:16

Mambo ya Walawi 23:44

Marejeo

  • +Law 23:2

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 23:2Kut 23:14; Law 23:37
Law. 23:2Hes 10:10
Law. 23:3Kut 16:30; 20:10; Law 19:3; Mdo 15:21
Law. 23:3Ne 13:22; Isa 56:2; 58:13
Law. 23:4Kut 23:14
Law. 23:4Kut 12:16; Hes 29:12
Law. 23:4Hes 9:2
Law. 23:5Hes 9:3; 28:16
Law. 23:5Kut 12:6; Kum 16:1; Yos 5:10; 1Ko 5:7
Law. 23:6Hes 28:17; Mdo 12:3; 1Ko 5:8
Law. 23:6Kut 12:15; 13:6; 34:18
Law. 23:7Kut 12:16
Law. 23:10Hes 18:12; Met 3:9; Eze 44:30; 1Ko 15:20; Yak 1:18
Law. 23:11Law 23:15; 1Ko 15:20, 23
Law. 23:14Yos 5:11
Law. 23:15Kut 34:22; Kum 16:9
Law. 23:16Mdo 2:1
Law. 23:16Hes 28:26; Kum 16:16
Law. 23:17Efe 2:16, 18
Law. 23:17Law 7:13; Ro 5:12
Law. 23:17Kut 23:16; 34:22; Yak 1:18; Ufu 14:4
Law. 23:18Hes 28:27
Law. 23:19Law 4:23; Hes 28:30
Law. 23:19Law 3:1
Law. 23:20Law 7:30
Law. 23:20Law 7:34; 10:14; Hes 18:9; Kum 18:4; 1Ko 9:13
Law. 23:21Hes 10:10
Law. 23:22Law 19:9; Kum 24:19; Ru 2:3
Law. 23:22Isa 58:7
Law. 23:22Law 19:33; Hes 15:15
Law. 23:241Fa 8:2
Law. 23:24Hes 10:10; 29:1
Law. 23:24Hes 29:12
Law. 23:27Kut 30:10; Law 16:30; 25:9; 1Yo 1:7
Law. 23:27Law 16:29; Hes 29:7; Zb 35:13; Isa 58:5
Law. 23:27Kum 16:16; Eze 45:17
Law. 23:28Law 16:34; Ebr 9:12, 24, 26; 10:10; 1Yo 2:2
Law. 23:29Hes 9:13; 15:30
Law. 23:30Mdo 3:23
Law. 23:31Law 23:28; Mt 12:12; Mk 3:4
Law. 23:32Law 16:31
Law. 23:32Law 16:29; 23:27; Hes 29:7; Zb 35:13
Law. 23:34Kut 23:16; Hes 29:12; Kum 16:13; Ezr 3:4; Ne 8:14; Zek 14:16; Yoh 7:2
Law. 23:36Ne 8:18; Yoh 7:37
Law. 23:37Kut 23:14; Kum 16:16
Law. 23:37Law 23:4; Hes 28:26; 29:7
Law. 23:37Law 1:9; 2:2
Law. 23:37Law 1:3
Law. 23:37Law 2:1, 11
Law. 23:37Kut 29:40; Hes 15:5; 28:7; Flp 2:17
Law. 23:38Kut 16:23; 20:8; 31:13; Isa 56:2
Law. 23:38Kut 28:38; Hes 18:29
Law. 23:38Hes 29:39; Kum 12:11
Law. 23:38Kum 12:6; 1Nya 29:9; 2Nya 35:8; Ezr 2:68
Law. 23:39Zek 14:16; Mt 13:39; 24:31; 25:31
Law. 23:39Kum 16:13
Law. 23:39Law 23:7, 24; Hes 29:12
Law. 23:40Ne 8:15; Yoh 12:13; Ufu 7:9
Law. 23:40Kum 16:15; Ne 8:10
Law. 23:41Hes 29:12; Ne 8:18
Law. 23:42Kum 31:10
Law. 23:42Ne 8:14, 16, 17
Law. 23:43Kut 13:14; Kum 31:13; Zb 78:6
Law. 23:43Kut 12:38; Hes 24:5; Zek 14:16
Law. 23:44Law 23:2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 23:1-44

Mambo ya Walawi

23 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 2 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Sherehe za majira+ za Yehova ambazo mtatangaza+ ni mikusanyiko mitakatifu. Hizi ndizo sherehe zangu za majira:

3 “‘Siku sita kazi inaweza kufanywa, lakini katika siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili,+ mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ya aina yoyote. Ni sabato kwa Yehova katika makao yenu yote.+

4 “‘Hizi ndizo sherehe za majira+ za Yehova, mikusanyiko mitakatifu,+ ambazo mtatangaza katika wakati wake uliowekwa:+ 5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova.

6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+ 7 Katika siku ya kwanza mtafanya mkusanyiko mtakatifu.+ Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote. 8 Lakini mtatoa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto kwa siku saba. Katika siku ya saba kutakuwa na mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.’”

9 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 10 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Mwishowe mtakapoingia katika nchi ambayo nitawapa ninyi, nanyi mtakapokuwa mmevuna mavuno yake, mtaleta pia mganda wa matunda ya kwanza+ ya mavuno yenu kwa kuhani. 11 Naye atautikisa huo mganda huku na huku,+ mbele za Yehova ili kupata kibali kwa ajili yenu. Siku itakayofuata sabato kuhani atautikisa huku na huku. 12 Na katika siku ambayo mganda wenu utatikiswa huku na huku mtamtoa mwana-kondoo dume ambaye hana kasoro, aliye katika mwaka wake wa kwanza, kwa ajili ya toleo la kuteketezwa kwa Yehova; 13 na kama toleo lake la nafaka, sehemu mbili za kumi za efa ya unga laini uliotiwa mafuta, kama toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, harufu ya kutuliza; na kama toleo lake la kinywaji, sehemu ya nne ya hini ya divai. 14 Nanyi hamtakula mkate wowote wala nafaka iliyochomwa wala nafaka mpya mpaka siku hiyo,+ mpaka mtakapoleta toleo la Mungu wenu. Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa vizazi vyenu vyote katika makao yenu yote.

15 “‘Nanyi mtajihesabia toka siku inayofuata sabato, toka siku ya kuleta kwenu ule mganda wa toleo la kutikisa, sabato 7.+ Zitakuwa kamili. 16 Mpaka siku inayofuata sabato ya 7 mtahesabu, siku 50,+ nanyi mtamtolea Yehova toleo jipya la nafaka.+ 17 Kutoka katika makao yenu mtaleta mikate+ miwili iwe toleo la kutikisa. Itakuwa ya sehemu mbili za kumi za efa ya unga laini. Itaokwa ikiwa imetiwa chachu,+ kama matunda ya kwanza yaliyoiva kwa Yehova.+ 18 Nanyi mtatoa pamoja na mikate hiyo wana-kondoo dume+ saba ambao hawana kasoro, kila mmoja mwenye umri wa mwaka mmoja, na ng’ombe-dume mmoja mchanga na kondoo-dume wawili. Watakuwa toleo la kuteketezwa kwa Yehova pamoja na toleo lao la nafaka na matoleo yao ya vinywaji yanayotolewa kwa njia ya moto, yenye harufu ya kumtuliza Yehova. 19 Nanyi mtamtoa mwana-mbuzi+ mmoja awe toleo la dhambi na wana-kondoo dume wawili, kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja, wawe dhabihu ya ushirika.+ 20 Naye kuhani atawatikisa huku na huku+ pamoja na ile mikate ya matunda ya kwanza yaliyoiva, kama toleo la kutikisa mbele za Yehova, pamoja na wale wana-kondoo dume wawili. Hivyo vitakuwa vitu vitakatifu kwa Yehova kwa ajili ya kuhani.+ 21 Nanyi mtatoa tangazo+ siku hiyo; kutakuwa na mkusanyiko mtakatifu kwa ajili yenu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote. Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo katika makao yenu yote kwa vizazi vyenu vyote.

22 “‘Na wakati mnapovuna mavuno ya nchi yenu, hutamaliza kabisa ukingo wa shamba lako unapovuna, na masalio ya mavuno yako hutaokota.+ Utayaacha kwa ajili ya watu wenye kuteseka+ na mkaaji mgeni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”

23 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 24 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika mwezi wa saba,+ siku ya kwanza ya mwezi huo, mtakuwa na pumziko kamili, ukumbusho kwa kupiga tarumbeta,+ mkusanyiko mtakatifu.+ 25 Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote, nanyi mtamtolea Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto.’”

26 Na Yehova akazidi kusema na Musa, na kumwambia: 27 “Hata hivyo, katika siku ya kumi ya mwezi huu wa saba ni siku ya upatanisho.+ Mtafanya mkusanyiko mtakatifu, nanyi mtazitesa nafsi+ zenu na kumtolea Yehova toleo+ linalotolewa kwa njia ya moto. 28 Nanyi hamtafanya kazi ya aina yoyote siku hiyo, kwa sababu ni siku ya upatanisho ili kufanya upatanisho+ kwa ajili yenu mbele za Yehova Mungu wenu; 29 kwa sababu kila nafsi ambayo haitateseka siku hiyo itakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake.+ 30 Nayo nafsi yoyote itakayofanya kazi ya aina yoyote siku hiyo, mimi nitaiharibu nafsi hiyo itoke katikati ya watu wake.+ 31 Hamtafanya kazi ya aina yoyote.+ Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu katika makao yenu yote. 32 Ni sabato ya pumziko kamili kwenu,+ nanyi mtazitesa+ nafsi zenu katika siku ya tisa ya mwezi huo wakati wa jioni. Toka jioni mpaka jioni mtaishika sabato.”

33 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 34 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu wa saba ni sherehe ya vibanda muda wa siku saba kwa Yehova.+ 35 Siku ya kwanza ni mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote. 36 Siku saba mtamtolea Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto. Siku ya nane mtakuwa na mkusanyiko mtakatifu,+ nanyi mtamtolea Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto. Ni kusanyiko kuu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.

37 “‘Hizi ndizo sherehe za majira+ za Yehova mtakazotangaza kuwa mikusanyiko mitakatifu,+ kwa ajili ya kumtolea Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto:+ toleo la kuteketezwa+ na toleo la nafaka+ la dhabihu na matoleo ya vinywaji+ kulingana na ratiba ya kila siku, 38 mbali na sabato za Yehova+ na mbali na zawadi+ zenu na mbali na matoleo yenu ya nadhiri+ na mbali na matoleo yenu ya hiari,+ ambayo mtamtolea Yehova. 39 Hata hivyo, katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakapokuwa mmeyakusanya mazao ya nchi, mtasherehekea sherehe+ ya Yehova siku saba.+ Katika siku ya kwanza ni pumziko kamili na katika siku ya nane ni pumziko kamili.+ 40 Nanyi mtajichukulia katika siku ya kwanza tunda la miti yenye fahari, matawi ya mitende+ na matawi ya miti yenye majani mengi na mierebi ya bonde la mto, nanyi mtashangilia+ mbele za Yehova Mungu wenu siku saba. 41 Nanyi mtaisherehekea kama sherehe kwa Yehova siku saba katika mwaka.+ Kama sheria mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu, mtaisherehekea katika mwezi wa saba. 42 Na katika vibanda mtakaa siku saba.+ Wenyeji wote katika Israeli watakaa katika vibanda,+ 43 ili vizazi vyenu vipate kujua+ kwamba niliwafanya wana wa Israeli wakae katika vibanda nilipokuwa nikiwatoa katika nchi ya Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”

44 Basi Musa akawaambia wana wa Israeli juu ya sherehe+ za majira za Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki