20 Kuhani atazitikisa dhabihu hizo kwenda mbele na nyuma pamoja na ile mikate ya mazao ya kwanza yaliyokomaa kama dhabihu ya kutikiswa mbele za Yehova, pamoja na wale wanakondoo dume wawili. Ni vitu vitakatifu vinavyotolewa kwa Yehova kwa ajili ya kuhani.+