Mambo ya Walawi 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye kuhani atawatikisa huku na huku+ pamoja na ile mikate ya matunda ya kwanza yaliyoiva, kama toleo la kutikisa mbele za Yehova, pamoja na wale wana-kondoo dume wawili. Hivyo vitakuwa vitu vitakatifu kwa Yehova kwa ajili ya kuhani.+
20 Naye kuhani atawatikisa huku na huku+ pamoja na ile mikate ya matunda ya kwanza yaliyoiva, kama toleo la kutikisa mbele za Yehova, pamoja na wale wana-kondoo dume wawili. Hivyo vitakuwa vitu vitakatifu kwa Yehova kwa ajili ya kuhani.+