Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 7:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa maana kidari cha toleo la kutikisa+ na mguu wa lile fungu takatifu navichukua kutoka kwa wana wa Israeli kutoka katika dhabihu zao za ushirika, nami nitampa Haruni kuhani na wanawe kutoka kwa wana wa Israeli, kama sharti mpaka wakati usio na kipimo.

  • Mambo ya Walawi 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nanyi mtakula kile kidari cha toleo la kutikisa+ na ule mguu wa lile fungu takatifu+ katika mahali safi, wewe na wanao na binti zako pamoja nawe,+ kwa sababu vimetolewa kuwa posho lako na posho la wanao kutoka katika dhabihu za ushirika za wana wa Israeli.

  • Hesabu 18:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hilo litakuwa lenu kutoka katika vitu vitakatifu zaidi, kutoka katika toleo linalotolewa kwa njia ya moto, kila toleo lao pamoja na kila toleo lao la nafaka+ na kila toleo lao la dhambi+ na kila toleo lao la hatia,+ ambalo watanirudishia. Ni kitu kitakatifu zaidi kwa ajili yako na wana wako.

  • Kumbukumbu la Torati 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sehemu ya kwanza ya nafaka yako, divai yako mpya na mafuta yako na sufu yako ya kwanza iliyokatwa ya kundi lako unapaswa kumpa.+

  • 1 Wakorintho 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki