Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Nawe utachukua kidari cha yule kondoo-dume wa kuweka rasmi,+ aliye wa Haruni, na kukitikisa huku na huku kikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova, nacho kitakuwa fungu lako.

  • Mambo ya Walawi 7:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye kuhani atayafukiza+ mafuta kwenye madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha Haruni na wanawe.+

  • Mambo ya Walawi 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini vidari na ule mguu wa kuume, Haruni alivitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa+ mbele za Yehova, kama vile Musa alivyoamuru.

  • Hesabu 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na hiki ni chako: mchango+ wa zawadi yao pamoja na matoleo yote ya kutikisa+ ya wana wa Israeli. Nimekupa wewe na wana wako na binti zako pamoja nawe vitu hivyo,+ viwe posho mpaka wakati usio na kipimo. Kila mtu aliye safi katika nyumba yako anaweza kula.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki