26 “Nawe utachukua kidari cha yule kondoo-dume wa kuweka rasmi,+ aliye wa Haruni, na kukitikisa huku na huku kikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova, nacho kitakuwa fungu lako.
11 Na hiki ni chako: mchango+ wa zawadi yao pamoja na matoleo yote ya kutikisa+ ya wana wa Israeli. Nimekupa wewe na wana wako na binti zako pamoja nawe vitu hivyo,+ viwe posho mpaka wakati usio na kipimo. Kila mtu aliye safi katika nyumba yako anaweza kula.+