Mambo ya Walawi 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Naye Musa akachukua kidari+ na kukitikisa huku na huku kikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+ Kutoka katika yule kondoo-dume wa kuweka rasmi kikawa fungu+ la Musa, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa. Zaburi 99:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+
29 Naye Musa akachukua kidari+ na kukitikisa huku na huku kikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+ Kutoka katika yule kondoo-dume wa kuweka rasmi kikawa fungu+ la Musa, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.
6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+