27 Nawe utakitakasa kidari+ cha toleo la kutikisa na ule mguu wa fungu takatifu ambao ulitikiswa na ambao ulichangiwa kutoka katika yule kondoo-dume wa kuweka rasmi,+ kutoka katika kile kilichokuwa cha Haruni na kutoka katika kile kilichokuwa cha wanawe.
35 “‘Hili ndilo lililokuwa fungu la kuhani la Haruni na fungu la kuhani la wanawe kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, katika siku ambayo aliwatoa+ watumikie wakiwa makuhani kwa Yehova,