22 “Nawe utachukua kutoka kwa kondoo-dume huyo mafuta na ule mkia mnono+ na yale mafuta yanayofunika matumbo, na kipasho cha ini, na zile figo mbili na mafuta yaliyo juu yake, na mguu wa kuume,+ kwa maana huyo ni kondoo wa kuweka rasmi;+
37 Hii ndiyo sheria inayohusu toleo la kuteketezwa,+ toleo la nafaka+ na toleo la dhambi+ na toleo la hatia+ na dhabihu ya kuweka rasmi+ na dhabihu ya ushirika,+