9 “Mwamuru Haruni na wanawe, na kusema, ‘Hii ndiyo sheria ya toleo la kuteketezwa:+ Toleo la kuteketezwa litakuwa kwenye jiko juu ya madhabahu usiku kucha mpaka asubuhi, nao moto wa madhabahu utawashwa ndani yake.
22 Lakini ninyi mkinitolea matoleo mazima ya kuteketezwa,+ hata katika matoleo yenu ya zawadi sitapata furaha,+ wala sitatazama dhabihu zenu za ushirika za vinono.+
33 na jambo hili la mtu kumpenda yeye kwa moyo wote na kwa uelewaji wote na kwa nguvu zote na mtu kumpenda jirani kama yeye mwenyewe ni bora zaidi kuliko matoleo yote mazima ya kuteketezwa na dhabihu zote.”+