Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mimi siwakaripii kuhusiana na dhabihu zenu,+

      Wala kuhusiana na matoleo yako mazima ya kuteketezwa yaliyo mbele zangu daima.+

  • Isaya 66:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Yeye anayemchinja ng’ombe ni kama yeye anayemuua mwanadamu.+ Yeye anayemchinja kondoo ni kama yeye anayevunja shingo ya mbwa.+ Yeye anayetoa zawadi ni kama yeye anayetoa damu ya nguruwe!+ Yeye anayetoa ukumbusho wa ubani+ ni kama yeye anayebariki akitumia maneno ya uchawi.+ Wao pia ndio wamechagua njia zao wenyewe, na nafsi yao imependezwa na machukizo yao.+

  • Hosea 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana mimi ninapendezwa na fadhili zenye upendo,+ na si dhabihu;+ ninapendezwa na kumjua Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki