Waamuzi 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakaanza kuchagua miungu mipya.+Ndipo kukawa na vita malangoni.+Ngao haikuonekana, wala mkuki,Kati ya 40,000 katika Israeli.+ Zaburi 81:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kwa hiyo nikawaacha waende katika ukaidi wa moyo wao;+Wakatembea katika mashauri yao wenyewe.+ Yeremia 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova amesema hivi kuwahusu watu hawa: “Hivyo wamependa kutanga-tanga;+ hawakuzuia miguu yao.+ Basi Yehova hakuwafurahia.+ Sasa atalikumbuka kosa lao naye atazikazia fikira dhambi zao.”+
8 Wakaanza kuchagua miungu mipya.+Ndipo kukawa na vita malangoni.+Ngao haikuonekana, wala mkuki,Kati ya 40,000 katika Israeli.+
10 Yehova amesema hivi kuwahusu watu hawa: “Hivyo wamependa kutanga-tanga;+ hawakuzuia miguu yao.+ Basi Yehova hakuwafurahia.+ Sasa atalikumbuka kosa lao naye atazikazia fikira dhambi zao.”+