Zaburi 119:101 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 101 Nimeizuilia mbali miguu yangu kutoka katika kila pito baya,+Kusudi nipate kulishika neno lako.+ Yeremia 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Zuia mguu wako usiwe mguu wazi, na koo yako isiwe na kiu.+ Lakini ulisema, ‘Hakuna matumaini!+ Hapana, lakini mimi nimewapenda wageni,+ nami nitawafuata.’+
25 Zuia mguu wako usiwe mguu wazi, na koo yako isiwe na kiu.+ Lakini ulisema, ‘Hakuna matumaini!+ Hapana, lakini mimi nimewapenda wageni,+ nami nitawafuata.’+