6 Kwa maana umewaacha watu wako, nyumba ya Yakobo.+ Kwa maana wamejaa vitu vya kutoka Mashariki,+ nao ni wenye kufanya uchawi+ kama Wafilisti, nao wamejawa na wana wa wageni.+
13 Ila uangalie tu kosa lako, kwa maana umemkosea Yehova Mungu wako.+ Nawe umeendelea kutawanya njia zako kwa wageni+ chini ya kila mti wenye majani mengi,+ lakini ninyi hamkuisikiliza sauti yangu,” asema Yehova.’”