40 Na hakika wao wataungama kosa lao wenyewe+ na kosa la baba zao katika ukosefu wao wa uaminifu walipojiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kunielekea mimi, naam, wakati ambapo walitembea kwa kunipinga.+
13 Ole wao,+ kwa maana wamenikimbia!+ Na waporwe, kwa maana wamenikosea! Nami mwenyewe nikachukua hatua ya kuwakomboa,+ bali wao wenyewe wamesema uwongo juu yangu.+