8 Baadaye wakasikia sauti ya Yehova Mungu akitembea katika bustani karibu na wakati wenye upepo mtulivu wa siku,+ naye huyo mwanamume na mke wake wakajificha kutoka mbele za uso wa Yehova Mungu katikati ya miti ya bustani.+
15 Naye Sauli akasema: “Wamewaleta kutoka kwa Waamaleki, kwa sababu watu+ waliwahurumia wanyama walio bora zaidi wa kundi na mifugo, kwa kusudi la kutoa dhabihu kwa Yehova, Mungu wako;+ lakini vitu vilivyobaki tumeviangamiza.”