Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baadaye wakasikia sauti ya Yehova Mungu akitembea katika bustani karibu na wakati wenye upepo mtulivu wa siku,+ naye huyo mwanamume na mke wake wakajificha kutoka mbele za uso wa Yehova Mungu katikati ya miti ya bustani.+

  • 1 Samweli 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye Sauli akasema: “Wamewaleta kutoka kwa Waamaleki, kwa sababu watu+ waliwahurumia wanyama walio bora zaidi wa kundi na mifugo, kwa kusudi la kutoa dhabihu kwa Yehova, Mungu wako;+ lakini vitu vilivyobaki tumeviangamiza.”

  • Zaburi 32:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Nilipokaa kimya mifupa yangu ilichakaa kwa sababu ya kuugua kwangu mchana kutwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki