Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 15:1

Marejeo

  • +1Sa 9:16; 10:1
  • +Kum 17:20; 1Sa 12:14; Mhu 12:13

1 Samweli 15:2

Marejeo

  • +2Sa 7:26
  • +Mwa 12:3; Zek 2:8
  • +Kut 17:8; Hes 24:20; Kum 25:17, 18

1 Samweli 15:3

Marejeo

  • +Kut 17:14; Kum 25:19; 1Nya 4:43
  • +Law 27:28, 29; 1Sa 15:18
  • +Kum 9:3
  • +Kut 20:5; Isa 14:21
  • +Kum 13:17; Yos 6:18

1 Samweli 15:4

Marejeo

  • +Yos 15:24
  • +1Sa 11:8; 13:15

1 Samweli 15:6

Marejeo

  • +Hes 10:29, 32; 24:21; Amu 1:16; 4:11
  • +Mwa 18:25; 19:12; Hes 16:26; 1Fa 20:31; Met 20:28
  • +Mwa 12:3; Kut 18:9, 12; Hes 10:29; Ebr 6:10
  • +Kum 5:15; 16:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    3/15/2005, kur. 22-23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 3/15 22-23

1 Samweli 15:7

Marejeo

  • +Kum 25:19; 1Sa 14:48
  • +Mwa 25:18
  • +Mwa 16:7; 1Sa 27:8

1 Samweli 15:8

Marejeo

  • +1Sa 15:33
  • +Law 27:29; 1Sa 15:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1992, uku. 5

1 Samweli 15:9

Marejeo

  • +Law 27:28; Yos 7:12; 1Sa 13:9; Met 11:2; 14:12; 21:24
  • +Yer 48:10

1 Samweli 15:11

Marejeo

  • +Mwa 6:6; 1Sa 15:26, 35; Yer 18:8
  • +Zb 36:2; 125:5; Mhu 4:13; Mal 3:7
  • +1Sa 13:13; 15:3
  • +1Sa 16:1; Zb 119:136
  • +Zb 55:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/1998, kur. 6-7

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 4/15 6-7

1 Samweli 15:12

Marejeo

  • +Yos 15:55; 1Sa 25:2
  • +2Sa 18:18; Zb 49:11; Met 8:13; 15:25

1 Samweli 15:13

Marejeo

  • +1Sa 13:10
  • +Met 12:15; 18:17; 26:12

1 Samweli 15:14

Marejeo

  • +1Sa 15:3; Zb 36:2

1 Samweli 15:15

Marejeo

  • +Mwa 3:12; Kut 32:22; 1Sa 15:21
  • +1Nya 28:9; Met 28:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 493

1 Samweli 15:16

Marejeo

  • +1Sa 15:10

1 Samweli 15:17

Marejeo

  • +1Sa 9:21; 10:22
  • +1Sa 9:16; 10:1

1 Samweli 15:18

Marejeo

  • +1Sa 15:3; Ayu 31:3; Met 10:29; 13:21
  • +Kum 25:19

1 Samweli 15:19

Marejeo

  • +Kum 13:17; 1Sa 15:9; Met 28:20; Efe 5:5
  • +1Sa 15:24

1 Samweli 15:20

Marejeo

  • +Met 21:29; 28:14
  • +Law 27:29; 1Fa 20:42; Yer 48:10
  • +Kum 7:16; 1Sa 15:3

1 Samweli 15:21

Marejeo

  • +Kut 32:22; 1Sa 15:15
  • +Mhu 5:1
  • +1Sa 13:4

1 Samweli 15:22

Marejeo

  • +Zb 50:8; Isa 1:11; Mik 6:6
  • +Yer 7:23; 38:20
  • +Met 21:3; Ho. 6:6; Mk 12:33
  • +Law 3:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2007, kur. 26-28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 3/1 30; w07 6/15 26-28

1 Samweli 15:23

Marejeo

  • +Hes 14:9; Kum 9:7; 1Sa 12:15
  • +Law 20:6; Kum 18:10; 1Sa 28:3; 1Nya 10:13; Isa 8:19
  • +Mwa 31:19, 30; 2Fa 23:24
  • +1Sa 15:3
  • +1Sa 13:14; 16:1; 1Nya 28:9; Mdo 13:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 3/1 30

1 Samweli 15:24

Marejeo

  • +1Sa 2:25; 2Ko 7:10; Yak 4:17
  • +Met 29:25; Isa 51:12

1 Samweli 15:25

Marejeo

  • +1Sa 2:25
  • +1Sa 15:30

1 Samweli 15:26

Marejeo

  • +Kum 17:20; 1Sa 12:25; 13:14; 16:1

1 Samweli 15:27

Marejeo

  • +1Fa 11:30

1 Samweli 15:28

Marejeo

  • +1Fa 11:31
  • +1Sa 13:14; 16:12; 28:17; Mdo 13:22

1 Samweli 15:29

Marejeo

  • +1Nya 29:11; Ayu 37:22; Isa 43:3; 44:6
  • +Zb 89:35; Tit 1:2; Ebr 6:18
  • +Hes 23:19; Zb 110:4; Eze 24:14

1 Samweli 15:30

Marejeo

  • +Met 26:1
  • +1Sa 15:25; Isa 29:13; Mt 15:8

1 Samweli 15:33

Marejeo

  • +Mt 26:52
  • +Amu 5:28
  • +Mwa 9:6; Law 24:17; Kum 19:21; Amu 1:7; Mt 7:2
  • +Kut 17:14; Kum 25:19; 1Sa 15:3

1 Samweli 15:34

Marejeo

  • +1Sa 11:4

1 Samweli 15:35

Marejeo

  • +1Sa 16:1
  • +1Sa 15:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/1998, kur. 6-7

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 4/15 6-7

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 15:11Sa 9:16; 10:1
1 Sam. 15:1Kum 17:20; 1Sa 12:14; Mhu 12:13
1 Sam. 15:22Sa 7:26
1 Sam. 15:2Mwa 12:3; Zek 2:8
1 Sam. 15:2Kut 17:8; Hes 24:20; Kum 25:17, 18
1 Sam. 15:3Kut 17:14; Kum 25:19; 1Nya 4:43
1 Sam. 15:3Law 27:28, 29; 1Sa 15:18
1 Sam. 15:3Kum 9:3
1 Sam. 15:3Kut 20:5; Isa 14:21
1 Sam. 15:3Kum 13:17; Yos 6:18
1 Sam. 15:4Yos 15:24
1 Sam. 15:41Sa 11:8; 13:15
1 Sam. 15:6Hes 10:29, 32; 24:21; Amu 1:16; 4:11
1 Sam. 15:6Mwa 18:25; 19:12; Hes 16:26; 1Fa 20:31; Met 20:28
1 Sam. 15:6Mwa 12:3; Kut 18:9, 12; Hes 10:29; Ebr 6:10
1 Sam. 15:6Kum 5:15; 16:3
1 Sam. 15:7Kum 25:19; 1Sa 14:48
1 Sam. 15:7Mwa 25:18
1 Sam. 15:7Mwa 16:7; 1Sa 27:8
1 Sam. 15:81Sa 15:33
1 Sam. 15:8Law 27:29; 1Sa 15:3
1 Sam. 15:9Law 27:28; Yos 7:12; 1Sa 13:9; Met 11:2; 14:12; 21:24
1 Sam. 15:9Yer 48:10
1 Sam. 15:11Mwa 6:6; 1Sa 15:26, 35; Yer 18:8
1 Sam. 15:11Zb 36:2; 125:5; Mhu 4:13; Mal 3:7
1 Sam. 15:111Sa 13:13; 15:3
1 Sam. 15:111Sa 16:1; Zb 119:136
1 Sam. 15:11Zb 55:2
1 Sam. 15:12Yos 15:55; 1Sa 25:2
1 Sam. 15:122Sa 18:18; Zb 49:11; Met 8:13; 15:25
1 Sam. 15:131Sa 13:10
1 Sam. 15:13Met 12:15; 18:17; 26:12
1 Sam. 15:141Sa 15:3; Zb 36:2
1 Sam. 15:15Mwa 3:12; Kut 32:22; 1Sa 15:21
1 Sam. 15:151Nya 28:9; Met 28:13
1 Sam. 15:161Sa 15:10
1 Sam. 15:171Sa 9:21; 10:22
1 Sam. 15:171Sa 9:16; 10:1
1 Sam. 15:181Sa 15:3; Ayu 31:3; Met 10:29; 13:21
1 Sam. 15:18Kum 25:19
1 Sam. 15:19Kum 13:17; 1Sa 15:9; Met 28:20; Efe 5:5
1 Sam. 15:191Sa 15:24
1 Sam. 15:20Met 21:29; 28:14
1 Sam. 15:20Law 27:29; 1Fa 20:42; Yer 48:10
1 Sam. 15:20Kum 7:16; 1Sa 15:3
1 Sam. 15:21Kut 32:22; 1Sa 15:15
1 Sam. 15:21Mhu 5:1
1 Sam. 15:211Sa 13:4
1 Sam. 15:22Zb 50:8; Isa 1:11; Mik 6:6
1 Sam. 15:22Yer 7:23; 38:20
1 Sam. 15:22Met 21:3; Ho. 6:6; Mk 12:33
1 Sam. 15:22Law 3:16
1 Sam. 15:23Hes 14:9; Kum 9:7; 1Sa 12:15
1 Sam. 15:23Law 20:6; Kum 18:10; 1Sa 28:3; 1Nya 10:13; Isa 8:19
1 Sam. 15:23Mwa 31:19, 30; 2Fa 23:24
1 Sam. 15:231Sa 15:3
1 Sam. 15:231Sa 13:14; 16:1; 1Nya 28:9; Mdo 13:22
1 Sam. 15:241Sa 2:25; 2Ko 7:10; Yak 4:17
1 Sam. 15:24Met 29:25; Isa 51:12
1 Sam. 15:251Sa 2:25
1 Sam. 15:251Sa 15:30
1 Sam. 15:26Kum 17:20; 1Sa 12:25; 13:14; 16:1
1 Sam. 15:271Fa 11:30
1 Sam. 15:281Fa 11:31
1 Sam. 15:281Sa 13:14; 16:12; 28:17; Mdo 13:22
1 Sam. 15:291Nya 29:11; Ayu 37:22; Isa 43:3; 44:6
1 Sam. 15:29Zb 89:35; Tit 1:2; Ebr 6:18
1 Sam. 15:29Hes 23:19; Zb 110:4; Eze 24:14
1 Sam. 15:30Met 26:1
1 Sam. 15:301Sa 15:25; Isa 29:13; Mt 15:8
1 Sam. 15:33Mt 26:52
1 Sam. 15:33Amu 5:28
1 Sam. 15:33Mwa 9:6; Law 24:17; Kum 19:21; Amu 1:7; Mt 7:2
1 Sam. 15:33Kut 17:14; Kum 25:19; 1Sa 15:3
1 Sam. 15:341Sa 11:4
1 Sam. 15:351Sa 16:1
1 Sam. 15:351Sa 15:11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 15:1-35

1 Samweli

15 Ndipo Samweli akamwambia Sauli: “Yehova alinituma mimi nikutie mafuta+ uwe mfalme juu ya watu wake Israeli, basi sasa isikilize sauti ya maneno ya Yehova.+ 2 Yehova wa majeshi amesema hivi,+ ‘Lazima nitoze hesabu+ yale ambayo Amaleki alimfanyia Israeli alipompinga njiani alipokuwa akipanda kutoka Misri.+ 3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’”+ 4 Basi Sauli akawaita watu na kuwahesabu katika Telaimu,+ watu mia mbili elfu wanaoenda kwa miguu na watu elfu kumi wa Yuda.+

5 Naye Sauli akaja mpaka jiji la Amaleki, akavizia kando ya bonde la mto. 6 Wakati huohuo, Sauli akawaambia Wakeni:+ “Nendeni, ondokeni,+ shukeni kutoka katikati ya Waamaleki, nisije nikawafagilia mbali ninyi pamoja nao. Ninyi mliwatendea fadhili zenye upendo wana wote wa Israeli+ walipokuwa wakipanda kutoka Misri.”+ Basi hao Wakeni wakaondoka katikati ya Amaleki. 7 Baada ya hilo Sauli akapiga Amaleki+ kutoka Havila+ mpaka Shuri,+ lililoko mbele ya Misri. 8 Naye akamkamata Agagi+ mfalme wa Amaleki akiwa hai, na watu wengine wote akawaangamiza kwa makali ya upanga.+ 9 Lakini Sauli na watu wakamhurumia Agagi na wanyama bora zaidi wa kundi na mifugo+ na walio wanono na kondoo-dume na vyote vilivyokuwa bora, nao hawakutaka kuwaangamiza.+ Lakini vitu vyote vilivyokuwa vyenye kudharaulika na vyenye kukataliwa, wakaviangamiza.

10 Basi neno la Yehova likamjia Samweli, likisema: 11 “Ninajuta+ kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu amegeuka+ asinifuate mimi, naye hakutenda maneno yangu.”+ Nalo jambo hilo likawa lenye kumtaabisha Samweli,+ akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+ 12 Kisha Samweli akaamka mapema ili akutane na Sauli asubuhi. Lakini Samweli akaletewa habari, kusema: “Sauli alikuja Karmeli,+ na tazama! alikuwa akijisimamishia mnara wa ukumbusho,+ kisha akageuka, akavuka na kushuka mpaka Gilgali.” 13 Mwishowe Samweli akamjia Sauli, naye Sauli akaanza kumwambia: “Umebarikiwa+ na Yehova. Nimelitimiza neno la Yehova.”+ 14 Lakini Samweli akasema: “Basi maana yake nini hii sauti ya kundi ninayoisikia masikioni mwangu, na sauti ya mifugo ninayoisikia?”+ 15 Naye Sauli akasema: “Wamewaleta kutoka kwa Waamaleki, kwa sababu watu+ waliwahurumia wanyama walio bora zaidi wa kundi na mifugo, kwa kusudi la kutoa dhabihu kwa Yehova, Mungu wako;+ lakini vitu vilivyobaki tumeviangamiza.” 16 Ndipo Samweli akamwambia Sauli: “Acha! Nami nitakuambia yale ambayo Yehova aliniambia usiku wa jana.”+ Basi akamwambia: “Sema!”

17 Na Samweli akaendelea kusema: “Je, haikuwa wakati ulipokuwa mdogo machoni pako mwenyewe+ kwamba ukawa kichwa cha makabila ya Israeli, na Yehova akakutia mafuta+ uwe mfalme juu ya Israeli? 18 Baadaye Yehova akakupa kazi na kusema, ‘Nenda, uwaangamize wale watenda-dhambi,+ Waamaleki, nawe upigane nao mpaka utakapokuwa umewaangamiza.’+ 19 Basi kwa nini hukuitii sauti ya Yehova, bali ukakimbilia nyara kwa pupa,+ ukafanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova?”+

20 Hata hivyo, Sauli akamwambia Samweli: “Lakini mimi nimeitii+ sauti ya Yehova kwa kuwa nilienda kufanya kazi ambayo Yehova alikuwa amenituma, nami nikamleta Agagi+ mfalme wa Amaleki, lakini Amaleki nimemwangamiza.+ 21 Nao watu+ wakachukua kutoka katika nyara kondoo na ng’ombe, walio bora zaidi kati yao kama kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuangamizwa, ili wamtolee+ Yehova, Mungu wako dhabihu katika Gilgali.”+

22 Naye Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa sana na matoleo ya kuteketezwa+ na dhabihu kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii+ ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo-dume; 23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+

24 Ndipo Sauli akamwambia Samweli: “Nimetenda dhambi;+ kwa kuwa nimevunja agizo la Yehova na maneno yako, kwa sababu niliwaogopa watu+ na kwa hiyo nikaitii sauti yao. 25 Na sasa, tafadhali, isamehe+ dhambi yangu, na urudi pamoja nami ili nisujudu+ mbele za Yehova.” 26 Lakini Samweli akamwambia Sauli: “Sitarudi pamoja nawe, kwa kuwa umelikataa neno la Yehova, naye Yehova amekukataa wewe usiendelee kuwa mfalme juu ya Israeli.”+ 27 Naye Samweli alipokuwa akigeuka akikaribia kwenda, akaukamata haraka upindo wa koti lake lisilo na mikono, lakini likararuka.+ 28 Ndipo Samweli akamwambia: “Yehova ameurarua+ utawala wa kifalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye hakika atampa mwenzako ambaye ni bora kuliko wewe.+ 29 Na zaidi ya hayo, Mtukufu wa Israeli+ hatasema uwongo,+ wala Yeye hataona majuto, kwa maana Yeye si mtu wa udongo hata aone majuto.”+

30 Naye akasema: “Nimetenda dhambi. Tafadhali sasa, niheshimu+ mbele ya wanaume wazee wa watu wangu na mbele ya Israeli nawe urudi pamoja na mimi, nami nitamsujudia Yehova, Mungu wako.”+ 31 Basi Samweli akarudi nyuma ya Sauli, na Sauli akamsujudia Yehova. 32 Baada ya hayo Samweli akasema: “Mleteni Agagi mfalme wa Amaleki karibu nami.” Ndipo Agagi akaenda kwake kwa kusitasita, na Agagi akaanza kusema moyoni mwake: “Kwa kweli uchungu wa kifo umeondoka.” 33 Hata hivyo, Samweli akasema: “Kama vile upanga wako+ ulivyofanya wanawake kufiwa na watoto, vivyo hivyo mama+ yako atafiwa zaidi na watoto kati ya wanawake.”+ Kwa hiyo Samweli akamkata Agagi vipande-vipande mbele za Yehova katika Gilgali.+

34 Basi Samweli akaenda zake huko Rama, naye Sauli akapanda kwenda nyumbani kwake katika Gibea+ la Sauli. 35 Na Samweli hakumwona Sauli tena mpaka siku ya kifo chake, kwa maana Samweli alikuwa akimwombolezea+ Sauli. Naye Yehova akajuta kwamba alikuwa amemfanya Sauli kuwa mfalme juu ya Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki