Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kutenda uadilifu na hukumu kunampendeza Yehova kuliko dhabihu.+

  • Hosea 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana mimi ninapendezwa na fadhili zenye upendo,+ na si dhabihu;+ ninapendezwa na kumjua Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+

  • Marko 12:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 na jambo hili la mtu kumpenda yeye kwa moyo wote na kwa uelewaji wote na kwa nguvu zote na mtu kumpenda jirani kama yeye mwenyewe ni bora zaidi kuliko matoleo yote mazima ya kuteketezwa na dhabihu zote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki