Methali 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kutenda uadilifu na hukumu kunampendeza Yehova kuliko dhabihu.+ Hosea 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mimi ninapendezwa na fadhili zenye upendo,+ na si dhabihu;+ ninapendezwa na kumjua Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+ Marko 12:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 na jambo hili la mtu kumpenda yeye kwa moyo wote na kwa uelewaji wote na kwa nguvu zote na mtu kumpenda jirani kama yeye mwenyewe ni bora zaidi kuliko matoleo yote mazima ya kuteketezwa na dhabihu zote.”+
6 Kwa maana mimi ninapendezwa na fadhili zenye upendo,+ na si dhabihu;+ ninapendezwa na kumjua Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+
33 na jambo hili la mtu kumpenda yeye kwa moyo wote na kwa uelewaji wote na kwa nguvu zote na mtu kumpenda jirani kama yeye mwenyewe ni bora zaidi kuliko matoleo yote mazima ya kuteketezwa na dhabihu zote.”+